Tufuatilie kupitia kipindi cha Redio 
                    
                
            
        
                        Tufuatilie kupitia kipindi cha Redio 
                    
                
                            
                                 22 January, 2025
                            
                
            Tufuatilie kupitia kipindi cha Redio cha Dodoma Live kinachorushwa na Dodoma FM Redio, Dodoma (98.4Mhz) tukizungumzia maendeleo ya utekelezaji wa ujenzi wa minara 758 Kanda ya Kati.
MUDA: Kuanzia saa 2:30 asubuhi siku ya Alhamis tarehe 23 Januari, 2025.
 
             
            